Mwaka 69 kabla ya Kristo, Jiulius Caesar, akiwa na miaka zaidi ya 30 alikuwa ametembelea eneo la Cadiz ambapo palikuwa na hekalu lililojengwa kwa ajili ya Hercules aliyekuwa shujaa ambaye alifanya makubwa kipindi cha nyuma.
Caesar akiwa anazurura kwenye hekalu hilo, alikutana na sanamu la aliyekuwa kiongozi mwingine aliyefanya makubwa, Alexander the Grea…